Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:21 - Swahili Revised Union Version

21 Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 kwa maana alisema moyoni mwake, “Nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.


hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawatoka, pepo wachafu wakawatoka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo