Mathayo 9:21 - Swahili Revised Union Version21 Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 kwa maana alisema moyoni mwake, “Nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona. Tazama sura |