Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:1 - Swahili Revised Union Version

Akapanda katika mashua, akavuka, akafika mjini kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akaingia kwenye chombo, akavuka na kufika katika mji wa kwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akaingia kwenye chombo, akavuka na kufika katika mji wa kwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapanda katika mashua, akavuka, akafika mjini kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni na Naftali;


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Naye Yesu alipoona makutano mengi wakimzunguka, aliamuru kuvuka kwenda ng'ambo.


Akapanda katika mashua, wanafunzi wake wakamfuata.


Hata Yesu alipokwisha kuvuka kurudia ng'ambo katika ile mashua, wakamkusanyikia mkutano mkuu; naye alikuwa kando ya bahari.


Na jamii ya watu wa nchi ya Wagerasi iliyo karibu walimwomba aondoke kwao, kwa kuwa walishikwa na hofu kubwa; basi akapanda katika mashua, akarudi.


Basi Yesu aliporudi mkutano ulimkaribisha kwa furaha, maana wote walikuwa wakimngojea.


Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.