Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 8:1 - Swahili Revised Union Version

Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu aliposhuka mlimani, makundi mengi ya watu yalimfuata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa aliposhuka kutoka mlimani, makundi ya watu wakamfuata.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa aliposhuka kutoka mlimani, makutano makubwa ya watu yakamfuata.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 8:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yesu hali akiyafahamu hayo akaondoka huko; na watu wengi wakamfuata; akawaponya wote,


Wakamwendea makutano mengi wakimletea viwete, vipofu, mabubu, vilema, na wengine wengi, wakawaweka miguuni pake; akawaponya;


Makutano mengi wakamfuata, akawaponya huko.


Walipokuwa wakitoka Yeriko mkutano mkubwa wakamfuata.


Na makutano mengi wakamfuata, kutoka Galilaya, na Dekapoli, na Yerusalemu, na Yudea, na ng'ambo ya Yordani.


kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao.


Naye Yesu alipoona makutano mengi wakimzunguka, aliamuru kuvuka kwenda ng'ambo.


Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Naye Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Mkutano mkuu ukamfuata, kutoka Galilaya, na Yudea,


Lakini habari zake zikazidi kuenea, wakakutanika makutano mengi wamsikilize na kuponywa magonjwa yao.