Mathayo 7:29 - Swahili Revised Union Version29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Hakuwa kama waalimu wao wa sheria, bali alifundisha kwa mamlaka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao. Tazama sura |