Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 7:8 - Swahili Revised Union Version

kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye hufunguliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 7:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Sala yake pia, na jinsi Mungu alivyomtakabali, na dhambi yake yote, na kosa lake, na mahali alipopajenga mahali pa juu, na kupasimamishia Maashera na sanamu za kuchonga, kabla ya kujinyenyekeza; tazama, hayo yameandikwa katika Kumbukumbu ya Hozai.


Nawe ujifurahishe katika BWANA, Naye atakutimizia haja za moyo wako.


Mimi ndimi BWANA, Mungu wako, Niliyekupandisha toka nchi ya Misri; Fumbua sana kinywa chako nami nitakijaza.


Naam, ningewalisha kwa ngano iliyo bora zaidi, Ningewashibisha kwa asali itokayo mwambani.


Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;


Au kuna mtu yupi kwenu, ambaye, mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe?


Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.


Yesu naye alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.


Bwana akamwambia, Simama, nenda zako katika njia iitwayo Nyofu, ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu aitwaye Sauli, wa Tarso; maana, angalia, anaomba;