Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 5:31 - Swahili Revised Union Version

Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 5:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Watu husema, Mtu akimwacha mkewe, naye akienda zake, akawa mke wa mtu mwingine, je! Mtu huyo atamrudia tena? Je! Nchi hiyo haitatiwa unajisi? Lakini wewe umefanya mambo ya ukahaba na wapenzi wengi; nawe, je! Utanirudia mimi? Asema BWANA.


Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.


Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa sababu yoyote?


Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?