Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 19:3 - Swahili Revised Union Version

3 Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa sababu yoyote?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mafarisayo kadhaa walimjia, wakamwuliza kwa kumtega, “Je, ni halali mume kumpa talaka mkewe kwa kisa chochote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia ili kumjaribu, wakamuuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yoyote?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa sababu yoyote?

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaoneshe ishara itokayo mbinguni.


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamwuliza, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe? Huku wakimjaribu.


Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno.


Tumpe, tusimpe? Naye, akijua unafiki wao, akawaambia, Mbona mmenijaribu? Nileteeni dinari niione.


Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.


Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;


Hapo baba zenu waliponijaribu, wakanipima, Wakaona matendo yangu miaka arubaini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo