Mathayo 5:31 - Swahili Revised Union Version31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; Tazama sura |