Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 5:31 - Swahili Revised Union Version

31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Ilikwisha semwa pia: ‘Anayemwacha mke wake, yampasa ampe hati ya talaka’.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;

Tazama sura Nakili




Mathayo 5:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Watu husema, Mtu akimwacha mkewe, naye akienda zake, akawa mke wa mtu mwingine, je! Mtu huyo atamrudia tena? Je! Nchi hiyo haitatiwa unajisi? Lakini wewe umefanya mambo ya ukahaba na wapenzi wengi; nawe, je! Utanirudia mimi? Asema BWANA.


Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.


Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa sababu yoyote?


Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo