Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 3:8 - Swahili Revised Union Version

Basi zaeni matunda yapasayo toba;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Onesheni kwa vitendo kwamba mmetubu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Onesheni kwa vitendo kwamba mmetubu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Onesheni kwa vitendo kwamba mmetubu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi zaeni matunda yapasayo toba;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 3:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa, tengenezeni njia zenu, na matendo yenu, mkaisikilize sauti ya BWANA, Mungu wenu; naye BWANA atayaghairi mabaya aliyoyanena juu yenu.


Huenda nyumba ya Yuda watasikia mabaya yote niliyokusudia kuwatenda; wapate kurudi, kila mtu akaiache njia yake mbaya; nami nikawasamehe uovu wao na dhambi yao.


Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.


Basi, toeni matunda yapatanayo na toba; wala msianze kusema mioyoni mwenu, Tunaye baba, ndiye Abrahamu; kwa maana nawaambia ya kwamba katika mawe haya Mungu aweza kumwinulia Abrahamu watoto.


bali kwanza niliwahubiria wale wa Dameski na Yerusalemu, na katika nchi yote ya Yudea, na watu wa Mataifa, kwamba watubu na kumwelekea Mungu, wakiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwao.


Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; nendeni kama watoto wa nuru,


kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli;


akiwa mmejazwa matunda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.