Yeremia 26:13 - Swahili Revised Union Version13 Basi sasa, tengenezeni njia zenu, na matendo yenu, mkaisikilize sauti ya BWANA, Mungu wenu; naye BWANA atayaghairi mabaya aliyoyanena juu yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Sasa basi, rekebisheni mienendo yenu na matendo yenu na kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mkifanya hivyo, Mwenyezi-Mungu atabadili nia yake na kuacha kuwaletea maafa aliyotamka dhidi yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Sasa basi, rekebisheni mienendo yenu na matendo yenu na kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mkifanya hivyo, Mwenyezi-Mungu atabadili nia yake na kuacha kuwaletea maafa aliyotamka dhidi yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Sasa basi, rekebisheni mienendo yenu na matendo yenu na kutii sauti ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu. Mkifanya hivyo, Mwenyezi-Mungu atabadili nia yake na kuacha kuwaletea maafa aliyotamka dhidi yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wenu. Ndipo Mwenyezi Mungu atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii bwana Mwenyezi Mungu wenu. Ndipo bwana atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu. Tazama sura |
Pia niliwatuma watumishi wangu wote, manabii, kwenu ninyi, nikiwatuma pasipo kukoma, nikisema, Rudini sasa, kila mtu na aiache njia yake mbaya, mkatengeneze matendo yenu, wala msiifuate miungu mingine, ili kuitumikia, nanyi mtakaa katika nchi hii, niliyowapa ninyi na baba zenu; lakini hamkutega masikio yenu, wala hamkunisikiliza.