Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 5:9 - Swahili Revised Union Version

9 kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 (kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli),

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 (kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli),

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli;

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:9
18 Marejeleo ya Msalaba  

Basi zaeni matunda yapasayo toba;


Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


Ndugu zangu, mimi mwenyewe nina hakika juu yenu, kuwa ninyi mmejaa wema, na mmejazwa ujuzi wote, tena mnaweza kuonyana.


Au waudharau wingi wa wema wake na ustahimili wake na uvumilivu wake, usijue ya kuwa wema wa Mungu wakuvuta upate kutubu?


Lakini tuishike kweli katika upendo na kukua hata tumfikie yeye katika yote, yeye aliye kichwa, Kristo.


Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.


Basi simameni, mkiwa mmejifunga kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,


akiwa mmejazwa matunda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.


Bali wewe, mtu wa Mungu, uyakimbie mambo hayo; ukafuate haki, utauwa, imani, upendo, subira, upole.


Lakini kuhusu Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki.


ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitenda haki, walipata ahadi, walifunga vinywa vya simba,


Kama mkijua ya kuwa yeye ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye haki amezaliwa na yeye.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo