Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 3:1 - Swahili Revised Union Version

Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Yudea, na kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku zile Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku zile Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku zile Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku hizo Yahya alikuja akihubiri katika nyika ya Yudea, akisema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku hizo Yahya alikuja akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Yudea, na kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 3:1
27 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Benaya, mwana wa Yehoyada, akapanda, akampiga, akamwua; naye akazikwa katika nyumba yake mwenyewe iliyoko nyikani.


Lakini, nawaambieni, Hajatokea mtu katika wazawa wa wanawake aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; lakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.


Na hao walipokwenda zao, Yesu alianza kuwaambia makutano habari za Yohana, Mlitoka kwenda nyikani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo?


Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii.


Kwa sababu Yohana alikuja kwenu kwa njia ya haki, ninyi msimwamini; lakini watoza ushuru na makahaba walimwamini, nanyi hata mlipoona, hamkutubu baadaye, ili kumwamini.


Basi zaeni matunda yapasayo toba;


akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.


Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya, Tazama, namtuma mjumbe wangu Mbele ya uso wako, Atakayeitengeneza njia yako.


Nawe, mtoto, utaitwa nabii wake Aliye Juu, Kwa maana utatangulia mbele za uso wa Bwana umtengenezee njia zake;


Basi, wajumbe wa Yohana walipokwisha ondoka, alianza kuwaambia makutano habari za Yohana, Mlitoka kwenda nyikani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo?


kuanza tangu ubatizo wa Yohana, hata siku ile alipochukuliwa kwetu kwenda juu, inapasa mmoja wao awe shahidi wa kufufuka kwake pamoja nasi.


Sasa basi, angalia, yeye BWANA ameniweka hai, kama alivyosema, miaka hii arubaini na mitano, tangu wakati huo BWANA alipomwambia Musa neno hilo, wakati Israeli walipokuwa wanapitia jangwani; na sasa tazama, hivi leo nimetimiza umri wa miaka themanini na mitano.


Hao wana wa Mkeni, huyo shemeji yake Musa, wakakwea juu kutoka katika huo mji wa mitende, pamoja na wana wa Yuda, na kuingia hiyo nyika ya Yuda, iliyo upande wa kusini wa Aradi; nao wakaenda na kukaa pamoja na watu hao.