Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:4 - Swahili Revised Union Version

Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale walinzi wa kaburi walimwogopa sana, wakatetemeka hata wakawa kama wafu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hofu iliniangukia na kutetemeka, Iliyoitetemesha mifupa yangu yote.


Papo hapo tetemeko liliwashika, Uchungu kama wa mwanamke azaaye.


Nami, Danieli, nikaona maono haya peke yangu; maana wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona maono haya; lakini tetemeko kuu liliwashika, hata wakakimbia ili kujificha.


Nao wale walipokuwa wakienda, tazama, baadhi ya walinzi waliingia mjini, wakawaambia wakuu wa makuhani juu ya mambo yote yaliyotendeka.


Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama theluji.


Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.


Akataka taa ziletwe, akarukia ndani, akitetemeka kwa hofu, akawaangukia Paulo na Sila;


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,