Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:3 - Swahili Revised Union Version

Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama theluji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sura ya huyo malaika ilikuwa kama umeme, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama theluji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Huwafanya malaika zake kuwa pepo, Na watumishi wake kuwa moto wa miali.


Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.


akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru.


Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.


Wakaingia kaburini wakaona kijana akiwa ameketi upande wa kulia, amevaa vazi jeupe; wakastaajabu.


mavazi yake yakimetameta, meupe mno, jinsi asivyoweza dobi duniani kuyafanya meupe.


Akaona malaika wawili, wenye mavazi meupe, wameketi, mmoja kichwani na mmoja miguuni, hapo ulipolazwa mwili wake Yesu.


Walipokuwa wakikaza macho mbinguni, yeye alipokuwa akienda zake, tazama, watu wawili wakasimama karibu nao, wenye nguo nyeupe,


Kisha nikaona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni, amevikwa wingu; na upinde wa mvua juu ya kichwa chake; na uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake kama nguzo za moto.


Baada ya hayo niliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake.