Ufunuo 18:1 - Swahili Revised Union Version1 Baada ya hayo niliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya hayo, nilimwona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa na uwezo mkuu, na dunia ikamulikwa na mng'ao wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya haya nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka kuu na dunia ikaangazwa kwa mng’ao wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya haya nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu na dunia ikamulikiwa na mng’ao wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Baada ya hayo niliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni, akiwa na mamlaka makuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake. Tazama sura |