Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:17 - Swahili Revised Union Version

Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipomwona wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipomwona wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipomwona wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipomwona, wakamwabudu; lakini baadhi yao wakaona shaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipomwona, wakamwabudu; lakini baadhi yao wakaona shaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Naye mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie.


Amin, nawaambieni, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.


Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Lakini hao waliposikia kwamba yu hai, naye amemwona, hawakuamini.


Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwaamini.


Baadaye akaonekana na wale kumi na mmoja walipokuwa wakila, akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki wale waliomwona alipofufuka katika wafu.


ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.


wale aliojidhihirisha kwao kuwa yu hai, kwa dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyouhusu ufalme wa Mungu.


baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;