Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 16:13 - Swahili Revised Union Version

13 Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwaamini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwaamini.

Tazama sura Nakili




Marko 16:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.


Lakini hao waliposikia kwamba yu hai, naye amemwona, hawakuamini.


Baadaye akaonekana na wale kumi na mmoja walipokuwa wakila, akawakemea kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki wale waliomwona alipofufuka katika wafu.


Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


hao waliwaambia mitume habari ya mambo hayo.


Basi walipokuwa hawajaamini kwa furaha, huku wakistaajabu, aliwaambia, Mna chakula chochote hapa?


Basi wanafunzi wengine wakamwambia, Tumemwona Bwana. Akawaambia, Mimi nisipoziona mikononi mwake kovu za misumari, na kutia kidole changu katika mahali pa misumari, na kutia mkono wangu katika ubavu wake, mimi sisadiki hata kidogo.


Basi ndipo alipoingia naye yule mwanafunzi mwingine aliyekuwa wa kwanza kufika kaburini, akaona na kuamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo