Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 28:12 - Swahili Revised Union Version

Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kupanga njama, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya viongozi wa makuhani kukutana na wazee na kutunga hila, waliwapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 28:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wale Mafarisayo wakatoka wakafanya shauri juu yake jinsi ya kumwangamiza.


Nao wale walipokuwa wakienda, tazama, baadhi ya walinzi waliingia mjini, wakawaambia wakuu wa makuhani juu ya mambo yote yaliyotendeka.


wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.


Basi wakuu wa makuhani na Mafarisayo wakakusanya baraza, wakasema, Tunafanya nini? Maana mtu huyu afanya ishara nyingi.


Wakakubali maneno yake; nao walipowaita mitume, wakawapiga, wakawaamuru wasinene kwa jina lake Yesu; kisha wakawaacha waende zao.