Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:61 - Swahili Revised Union Version

Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwa wameketi kulielekea kaburi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mariamu Magdalene na yule Mariamu mwingine walikuwa mahali pale, wakiwa wameketi mkabala na kaburi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikuwepo mahali pale, wakiwa wameketi mkabala na kaburi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na pale walikuwapo Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, wameketi kulielekea kaburi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:61
2 Marejeleo ya Msalaba  

Miongoni mwao alikuwamo Mariamu Magdalene, na Mariamu mama yao Yakobo na Yusufu, na mama yao wana wa Zebedayo.


Na sabato ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.