Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:49 - Swahili Revised Union Version

Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wengine wakasema, “Acha tuone kama Elia anakuja kumwokoa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wengine wakasema, “Acha tuone kama Elia anakuja kumwokoa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wengine wakasema, “Acha tuone kama Elia anakuja kumwokoa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wengine wakasema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Ilya atakuja kumwokoa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wengine wakasema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Ilya atakuja kumwokoa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:49
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Eliya Mtishbi, wa wageni wa Gileadi, akamwambia Ahabu, Kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninasimama mbele zake, hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii, ila kwa neno langu.


Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.


Mara mmoja wao akaenda mbio, akatwaa sifongo, akaijaza siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha.


Naye Yesu akiisha kupaza sauti tena kwa nguvu, akaitoa roho yake.