Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:66 - Swahili Revised Union Version

mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema, Imempasa kuuawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyinyi mwaonaje?” Wao wakamjibu, “Anastahili kufa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyinyi mwaonaje?” Wao wakamjibu, “Anastahili kufa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyinyi mwaonaje?” Wao wakamjibu, “Anastahili kufa!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uamuzi wenu ni gani?” Wakajibu, “Anastahili kufa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uamuzi wenu ni gani?” Wakajibu, “Anastahili kufa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema, Imempasa kuuawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:66
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa BWANA, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.


Ndipo hapo makuhani, na manabii, wakawaambia wakuu na watu wote, wakisema, Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo, kwa sababu ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu.


Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Ikiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;


Mmehukumu mwenye haki mkamwua; wala hashindani nanyi.