Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:44 - Swahili Revised Union Version

Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:44
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi.


Kisha akawajia wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike tazama, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dhambi.


Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.