Mathayo 26:44 - Swahili Revised Union Version Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale. Biblia Habari Njema - BHND Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale. Neno: Bibilia Takatifu Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale. Neno: Maandiko Matakatifu Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale. BIBLIA KISWAHILI Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale. |
Kisha akawajia wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike tazama, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dhambi.
Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.