Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:44 - Swahili Revised Union Version

44 Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Basi, akawaacha, akaenda tena kusali mara ya tatu kwa maneno yaleyale.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Hivyo akawaacha akaenda zake tena mara ya tatu na kuomba akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

44 Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:44
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi.


Kisha akawajia wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike tazama, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dhambi.


Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo