Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:43 - Swahili Revised Union Version

43 Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.


Basi nahodha akamwendea, akamwambia, Una nini, Ewe ulalaye usingizi? Amka, ukamwombe Mungu wako; labda Mungu huyo atatukumbuka, tusipotee.


Akaenda tena mara ya pili, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwa haiwezekani kikombe hiki kiniondokee nisipokunywa, mapenzi yako yatimizwe.


Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.


Petro na wale waliokuwa pamoja naye walikuwa wamelemewa na usingizi; lakini walipokwisha amka waliuona utukufu wake, na wale wawili waliosimama pamoja naye.


Kijana mmoja, jina lake Eutiko, alikuwa ameketi dirishani, akalemewa na usingizi sana; hata Paulo alipoendelea sana kuhubiri, akazidiwa na usingizi wake akaanguka toka ghorofa ya tatu; akainuliwa amekwisha kufa.


Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo