Mathayo 26:43 - Swahili Revised Union Version43 Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI43 Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi. Tazama sura |