Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:43 - Swahili Revised Union Version

Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akawaendea tena, akawakuta wamelala, maana macho yao yalikuwa yamebanwa na usingizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliporudi, akawakuta tena wamelala kwa sababu macho yao yalikuwa mazito.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaja tena, akawakuta wamelala; maana macho yao yalijawa na usingizi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:43
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari; Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.


Basi nahodha akamwendea, akamwambia, Una nini, Ewe ulalaye usingizi? Amka, ukamwombe Mungu wako; labda Mungu huyo atatukumbuka, tusipotee.


Akaenda tena mara ya pili, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwa haiwezekani kikombe hiki kiniondokee nisipokunywa, mapenzi yako yatimizwe.


Akawaacha tena, akaenda, akaomba mara ya tatu, akisema maneno yale yale.


Petro na wale waliokuwa pamoja naye walikuwa wamelemewa na usingizi; lakini walipokwisha amka waliuona utukufu wake, na wale wawili waliosimama pamoja naye.


Kijana mmoja, jina lake Eutiko, alikuwa ameketi dirishani, akalemewa na usingizi sana; hata Paulo alipoendelea sana kuhubiri, akazidiwa na usingizi wake akaanguka toka ghorofa ya tatu; akainuliwa amekwisha kufa.


Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.