Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:27 - Swahili Revised Union Version

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Kuyweni nyote katika hiki;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni nyote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni nyote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akawapa akisema, “Kunyweni nyote;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika kikombe hiki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika kikombe hiki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, Kuyweni nyote katika hiki;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:27
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakipokea kikombe cha wokovu; Na kulitangaza jina la BWANA;


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Na kinywa chako kama divai iliyo bora, Kwa mpendwa wangu inashuka taratibu, Ikitiririka midomoni mwao walalao.


Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.


Haya, kila aonaye kiu, njoni majini, Naye asiye na fedha; njoni, nunueni mle; Naam, njoni, nunueni divai na maziwa, Bila fedha na bila gharama.


akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano.


Nao walipokuwa wakila Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ndio mwili wangu


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! Si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?


Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.