Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:16 - Swahili Revised Union Version

Tokea wakati huo akawa akitafuta nafasi apate kumsaliti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta wakati uliofaa wa kumsaliti Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tokea wakati huo akawa akitafuta nafasi apate kumsaliti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Ni nini mtakachonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelathini vya fedha.


Katika siku ya kwanza ya mikate isiyotiwa chachu, wanafunzi wake wakamwendea Yesu, wakamwambia, Ni wapi utakapo tukuandalie uile Pasaka?


Nao waliposikia walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Akatafuta njia ya kumsaliti wakati wa kufaa.


Akakubali, akatafuta nafasi ya kumsaliti kwao pasipokuwapo mkutano.


Na Paulo alipokuwa akitoa hoja zake kuhusu haki, na kuwa na kiasi, na hukumu itakayokuja, Feliki akaingiwa na hofu na kusema, Sasa nenda zako, nami nikipata nafasi nitakuita.


Lakini kuhusu Apolo, ndugu yetu, nilimsihi sana aje kwenu pamoja na hao ndugu; ambaye si mapenzi yake kwenda sasa; lakini atakuja atakapopata nafasi.