Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:19 - Swahili Revised Union Version

Baada ya siku nyingi akaja bwana wa watumwa wale, akafanya hesabu nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Baada ya muda mrefu, yule bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Baada ya muda mrefu, yule bwana wa wale watumishi akarudi na kufanya hesabu nao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baada ya siku nyingi akaja bwana wa watumwa wale, akafanya hesabu nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake.


Hata bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala usingizi.


Kama vile Daudi ainenavyo heri yake mtu yule ambaye Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo,


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee malipo ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, yawe ni mema au mabaya.


Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.