Mathayo 24:48 - Swahili Revised Union Version48 Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema48 Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: ‘Bwana wangu amekawia kurudi,’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND48 Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: ‘Bwana wangu amekawia kurudi,’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza48 Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: ‘Bwana wangu amekawia kurudi,’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu48 Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu48 Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI48 Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia; Tazama sura |