Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:47 - Swahili Revised Union Version

Amin, nawaambieni, atamweka juu ya vitu vyake vyote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amin, nawaambia, atamweka mtumishi huyo kuwa msimamizi wa mali yake yote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amin, nawaambieni, atamweka juu ya vitu vyake vyote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:47
15 Marejeleo ya Msalaba  

Upendeleo wa mfalme humwelekea mtumwa atendaye kwa busara; Bali hasira yake itakuwa juu yake aletaye aibu.


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta akifanya hivyo.


Lakini mtumwa yule mbaya akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia;


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.


Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.


Heri watumwa wale, ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesha. Amin, nawaambieni, atajifunga na kuwakaribisha chakulani, atakuja na kuwahudumia.


Kweli nawaambia, atamweka juu ya vitu vyake vyote.


Akamwambia, Vema, mtumwa mwema; kwa vile ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo, uwe na mamlaka juu ya miji kumi.


Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Kama tukistahimili, tutamiliki pamoja naye; Kama tukimkana yeye, yeye naye atatukana sisi;


Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.


Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.