Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:26 - Swahili Revised Union Version

Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakiwaambieni, ‘Tazameni, yuko jangwani,’ msiende huko; au, ‘Tazameni, amejificha ndani,’ msisadiki;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakiwaambieni, ‘Tazameni, yuko jangwani,’ msiende huko; au, ‘Tazameni, amejificha ndani,’ msisadiki;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakiwaambieni, ‘Tazameni, yuko jangwani,’ msiende huko; au, ‘Tazameni, amejificha ndani,’ msisadiki;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Basi mtu yeyote akiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko kwenye chumba,’ msisadiki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kwa hiyo mtu yeyote akiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko kwenye chumba,’ msisadiki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:26
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya BWANA; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu.


Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.


Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.


Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Yudea, na kusema,


Wewe si yule Mmisri ambaye kabla ya siku hizi aliwafitinisha wale watu elfu nne, walioitwa Wauaji, akawaongoza jangwani?