Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:21 - Swahili Revised Union Version

Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo, na kwa yeye akaaye ndani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na anayeapa kwa hekalu ameapa kwa hilo hekalu na pia kwa yule akaaye ndani yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na anayeapa kwa hekalu ameapa kwa hilo hekalu na pia kwa yule akaaye ndani yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na anayeapa kwa hekalu ameapa kwa hilo hekalu na pia kwa yule akaaye ndani yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye mtu anayeapa kwa Hekalu, anaapa kwa hilo Hekalu na kwa huyo akaaye ndani yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye mtu aapaye kwa Hekalu, huapa kwa hilo Hekalu na kwa huyo akaaye ndani yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo, na kwa yeye akaaye ndani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika nimekujengea nyumba ya kukaa, iwe mahali pa makao yako milele.


Lakini Mungu je? Hakika atakaa juu ya nchi? Tazama, mbingu hazikutoshi, wala mbingu za mbingu; sembuse nyumba hii niliyoijenga!


Lakini nimekujengea nyumba ya kukaa, iwe mahali pa makao yako milele.


Wala makuhani hawakuweza kuingia nyumbani mwa BWANA, kwa kuwa utukufu wa BWANA umeijaza nyumba ya BWANA.


BWANA, nimependa makao ya nyumba yako, Na mahali pa maskani ya utukufu wako.


Basi yeye aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hiyo, na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.


Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja kuwa maskani ya Mungu katika Roho.


Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.