Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 23:20 - Swahili Revised Union Version

20 Basi yeye aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hiyo, na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Anayeapa kwa madhabahu ameapa kwa hiyo madhabahu, na kwa chochote kilichowekwa juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Basi, mtu anayeapa kwa madhabahu, anaapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa hiyo, mtu aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hayo madhabahu na vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Basi yeye aapaye kwa madhabahu, huapa kwa hiyo, na kwa vitu vyote vilivyo juu yake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Vipofu ninyi; maana ni ipi iliyo kubwa, ile sadaka, au ile madhabahu iitakasayo sadaka?


Naye aapaye kwa hekalu, huapa kwa hilo, na kwa yeye akaaye ndani yake.


Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao; na kwao mwisho wa mashindano yote ya maneno ni kiapo, kwa kuyathibitisha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo