Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:11 - Swahili Revised Union Version

Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.


Akaketi chini, akawaita wale Kumi na Wawili akawaambia, Mtu atakaye kuwa wa kwanza atakuwa wa mwisho kuliko wote, na mtumishi wa wote.


Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nilijifanya mtumwa wa wote, ili nipate watu wengi zaidi.


Wao ni wahudumu wa Kristo? (Nanena kiwazimu), mimi ni zaidi; katika taabu kuzidi sana; katika vifungo kuzidi sana; katika mapigo kupita kiasi; katika mauti mara nyingi.


Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali tumikianeni kwa upendo.