Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 2:17 - Swahili Revised Union Version

Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, aliposema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 2:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya Yeremia, mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi, katika nchi ya Benyamini;


akakaa huko hadi Herode alipokufa; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nilimwita mwanangu.


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Sauti ilisikiwa Rama, Kilio na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake, Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawapo tena.


Ndipo likatimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema, Wakavitwaa vipande thelathini vya fedha, kima chake aliyetiwa kima, ambaye baadhi ya Waisraeli walimtia kima;