Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 2:17 - Swahili Revised Union Version

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,

Tazama sura Nakili




Mathayo 2:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya Yeremia, mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi, katika nchi ya Benyamini;


akakaa huko hadi Herode alipokufa; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nilimwita mwanangu.


Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale majusi, alighadhibika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wa kiume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake kote, kuanzia wenye miaka miwili na chini yake, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale majusi.


Sauti ilisikiwa Rama, Kilio na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake, Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawapo tena.


Ndipo likatimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema, Wakavitwaa vipande thelathini vya fedha, kima chake aliyetiwa kima, ambaye baadhi ya Waisraeli walimtia kima;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo