Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 18:30 - Swahili Revised Union Version

Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa gerezani, hadi atakapoilipa ile deni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa gerezani, hadi atakapoilipa ile deni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 18:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

mkaseme, Mfalme asema hivi, Mtieni mtu huyu gerezani, mkamlishe kwa chakula cha shida, na maji ya shida, hata nitakaporudi kwa amani.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Basi mtumwa mwenzake akaanguka miguuni pake, akamsihi, akisema, Nivumilie, nami nitakulipa yote pia.


Basi watumwa wenzake walipoyaona yaliyotendeka, walisikitika sana, wakaenda wakamweleza bwana wao yote yaliyotendeka.