Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:29 - Swahili Revised Union Version

29 Basi mtumwa mwenzake akaanguka miguuni pake, akamsihi, akisema, Nivumilie, nami nitakulipa yote pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Huyo mtumishi mwenzake akapiga magoti, akamwomba, ‘Unisubiri nami nitakulipa’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Huyo mtumishi mwenzake akapiga magoti, akamwomba, ‘Unisubiri nami nitakulipa’.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Huyo mtumishi mwenzake akapiga magoti, akamwomba, ‘Unisubiri nami nitakulipa’.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nami nitakulipa deni lako lote.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Basi mtumwa mwenzake akaanguka miguuni pake, akamsihi, akisema, Nivumilie, nami nitakulipa yote pia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi yule mtumwa akaanguka, akamsujudia akisema, Bwana, nivumilie, nami nitakulipa yote pia.


Mtumwa yule akatoka, akamwona mmoja wa watumishi wake, aliyemwia dinari mia; akamkamata, akamkaba koo, akisema, Nilipe unachodaiwa.


Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa gerezani, hadi atakapoilipa ile deni.


nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mtumwa mwenzako, kama mimi nilivyokurehemu wewe?


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


kama mlivyofundishwa na Epafra, mwenzi wetu mpendwa, aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu;


Tikiko, ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, mwenzi wangu katika Bwana, atawaarifu mambo yangu yote;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo