Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:30 - Swahili Revised Union Version

30 Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa gerezani, hadi atakapoilipa ile deni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Lakini yeye hakutaka, bali alimtia gerezani mpaka hapo atakapolipa lile deni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 “Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 “Lakini akakataa. Badala yake, alienda akamtupa gerezani hata atakapolipa hilo deni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa gerezani, hadi atakapoilipa ile deni.

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:30
5 Marejeleo ya Msalaba  

mkaseme, Mfalme asema hivi, Mtieni mtu huyu gerezani, mkamlishe kwa chakula cha shida, na maji ya shida, hata nitakaporudi kwa amani.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Basi mtumwa mwenzake akaanguka miguuni pake, akamsihi, akisema, Nivumilie, nami nitakulipa yote pia.


Basi watumwa wenzake walipoyaona yaliyotendeka, walisikitika sana, wakaenda wakamweleza bwana wao yote yaliyotendeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo