Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 18:2 - Swahili Revised Union Version

Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 18:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee BWANA, Mungu wangu, umenitawaza niwe mfalme mimi mtumwa wako badala ya Daudi baba yangu; nami ni mtoto mdogo tu; sijui jinsi inipasavyo kutoka wala kuingia.


Lakini BWANA akaniambia, Usiseme, Mimi ni mtoto; maana utakwenda kwa kila mtu nitakayekutuma kwake, nawe utasema kila neno nitakalokuamuru.


Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,


akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.