Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:1 - Swahili Revised Union Version

1 Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Ni nani aliye mkubwa zaidi katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Ni nani aliye mkubwa zaidi katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Ni nani aliye mkubwa zaidi katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Wakati huo, wanafunzi wakamjia Isa na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Wakati huo, wanafunzi wakamjia Isa na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,


Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo