Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 18:2 - Swahili Revised Union Version

2 Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yesu akamwita mtoto mmoja, akamsimamisha kati yao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Isa akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Isa akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,

Tazama sura Nakili




Mathayo 18:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee BWANA, Mungu wangu, umenitawaza niwe mfalme mimi mtumwa wako badala ya Daudi baba yangu; nami ni mtoto mdogo tu; sijui jinsi inipasavyo kutoka wala kuingia.


Lakini BWANA akaniambia, Usiseme, Mimi ni mtoto; maana utakwenda kwa kila mtu nitakayekutuma kwake, nawe utasema kila neno nitakalokuamuru.


Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,


akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo