Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 18:1 - Swahili Revised Union Version

Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Ni nani aliye mkubwa zaidi katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Ni nani aliye mkubwa zaidi katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati ule wanafunzi walimwendea Yesu, wakamwuliza, “Ni nani aliye mkubwa zaidi katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati huo, wanafunzi wakamjia Isa na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika ufalme wa mbinguni?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati huo, wanafunzi wakamjia Isa na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 18:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao,


Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.


Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu;


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.