Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 17:21 - Swahili Revised Union Version

Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pepo wa namna hii hawezi kuondolewa ila kwa sala na kufunga.”]

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pepo wa namna hii hawezi kuondolewa ila kwa sala na kufunga.”]

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini hali kama hii haitoki ila kwa kuomba na kufunga.]”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini hali kama hii haitoki ila kwa kuomba na kufunga.]”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 17:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwomba BWANA, akanena, Ee BWANA, Mungu wangu, je! Umemtenda mabaya mjane huyu ninayekaa kwake hata kumwua mwanawe?


Nikamwelekezea Bwana Mungu uso wangu, ili kusihi kwa maombi, na dua, pamoja na kufunga, na kuvaa nguo za magunia na majivu.


Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.


Nao walipokuwa wakikaa Galilaya, Yesu akawaambia, Mwana wa Adamu anakwenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua, na siku ya tatu atafufuka.


Akawaambia, Namna hii haiwezi kutoka kwa neno lolote, isipokuwa kwa kuomba.


Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia.


Na walipokwisha kuwachagulia wazee katika kila kanisa, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka katika mikono ya Bwana waliyemwamini.


Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkarudiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.


katika taabu na masumbufu; katika kukesha mara nyingi; katika njaa na kiu; katika kufunga mara nyingi; katika baridi na kuwa uchi.


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;