Danieli 9:3 - Swahili Revised Union Version3 Nikamwelekezea Bwana Mungu uso wangu, ili kusihi kwa maombi, na dua, pamoja na kufunga, na kuvaa nguo za magunia na majivu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Nilimwomba Mwenyezi-Mungu, kwa moyo, nikimtolea dua pamoja na kufunga, nikavaa vazi la gunia na kuketi kwenye majivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Nilimwomba Mwenyezi-Mungu, kwa moyo, nikimtolea dua pamoja na kufunga, nikavaa vazi la gunia na kuketi kwenye majivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Nilimwomba Mwenyezi-Mungu, kwa moyo, nikimtolea dua pamoja na kufunga, nikavaa vazi la gunia na kuketi kwenye majivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kwa hiyo nikamgeukia Mwenyezi Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa gunia na kujipaka majivu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kwa hiyo nikamgeukia bwana Mwenyezi Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19373 Ndipo, nilipouelekeza uso wangu kwake Bwana Mungu, nipate kumwomba na kumlalamikia nikifunga mfungo na kuvaa gunia na kukaa majivuni. Tazama sura |