Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:29 - Swahili Revised Union Version

29 Akawaambia, Namna hii haiwezi kutoka kwa neno lolote, isipokuwa kwa kuomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Naye akawaambia, “Pepo wa aina hii hawezi kutoka isipokuwa kwa sala.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Naye akawaambia, “Pepo wa aina hii hawezi kutoka isipokuwa kwa sala.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Naye akawaambia, “Pepo wa aina hii hawezi kutoka isipokuwa kwa sala.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Isa akawajibu, “Pepo aina hii haiwezi kutoka isipokuwa kwa kuomba [na kufunga].”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Isa akawajibu, “Hali hii haiwezi kutoka isipokuwa kwa kuomba na kufunga.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Akawaambia, Namna hii haiwezi kutoka kwa neno lolote, isipokuwa kwa kuomba.

Tazama sura Nakili




Marko 9:29
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nikamwelekezea Bwana Mungu uso wangu, ili kusihi kwa maombi, na dua, pamoja na kufunga, na kuvaa nguo za magunia na majivu.


Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.


Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. [


Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.]


Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Wakatoka huko, wakapita katikati ya Galilaya; naye hakutaka mtu kujua.


Hata afikapo, akaiona imefagiwa na kupambwa, ndipo huenda akachukua pepo wengine saba, walio waovu kuliko yeye mwenyewe, wakaingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza.


Na walipokwisha kuwachagulia wazee katika kila kanisa, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka katika mikono ya Bwana waliyemwamini.


bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha; isiwe, nikiisha kuwahubiria wengine, mwenyewe niwe mtu wa kukataliwa.


katika taabu na masumbufu; katika kukesha mara nyingi; katika njaa na kiu; katika kufunga mara nyingi; katika baridi na kuwa uchi.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.


katika mapigo, katika vifungo, katika fitina, katika taabu, katika kukesha, katika kufunga;


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;


Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo