Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 17:14 - Swahili Revised Union Version

Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipoufikia tena ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipoufikia tena ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipoufikia tena ule umati wa watu, mtu mmoja alimwendea Yesu, akampigia magoti,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipofika penye umati wa watu, mtu mmoja akamjia Isa na kupiga magoti mbele yake, akasema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipofika penye umati wa watu, mtu mmoja akamjia Isa na kupiga magoti mbele yake, akasema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipoufikia mkutano, mtu mmoja akamjia, akampigia magoti, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 17:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habari za Yohana Mbatizaji.


Akaja kwake mtu mwenye ukoma, akamsihi na kumpigia magoti, na kumwambia, Ukitaka, waweza kunitakasa.


Alipokuwa akitoka kwenda njiani, mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?


Hata tulipotimiza siku zile tukaondoka tukaenda zetu, na watu wote, pamoja na wake zao na watoto wao, wakatusindikiza mpake nje ya mji, tukapiga magoti pwani tukaomba;