Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:10 - Swahili Revised Union Version

Akawaita makutano akawaambia

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akaita umati wa watu waliokuwa hapo, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akaita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni na mwelewe:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaita makutano akawaambia

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mikaya akasema, Ukirudi kabisa kwa amani, BWANA hakusema kwa mimi. Akasema, Sikieni, enyi watu wote.


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Naye akaniambia, Nenda, ukawaambie watu hawa, Endeleeni kusikia, lakini msifahamu; endeleeni kutazama, lakini msione.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Sikilizeni, mfahamu; Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.


Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho ya hekima na ya ufunuo katika kumjua yeye;


Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni;


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.