Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:7 - Swahili Revised Union Version

Hata akaahidi kwa kiapo ya kwamba atampa lolote atakaloliomba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

hata akaahidi kwa kiapo kumpa huyo msichana chochote atakachoomba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata akaahidi kwa kiapo ya kwamba atampa lolote atakaloliomba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:7
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akamwambia, malkia Esta, unataka nini? Nayo ni haja gani uliyo nayo? Utapewa hata nusu ya ufalme.


Basi mfalme akamwambia Esta pale penye karamu ya divai, Dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.


Mfalme akamwambia Esta tena siku ya pili pale pale penye karamu ya divai, Malkia Esta, dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.


Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.


Hata ilipofika sikukuu ya kuzaliwa kwake Herode, binti ya Herodia alicheza mbele ya watu, akampendeza Herode.


Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.