Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:51 - Swahili Revised Union Version

Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawauliza, “Je, mmeelewa mambo haya yote?” Wakamjibu, “Naam.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akauliza, “Je, mmeyaelewa haya yote?” Wakamjibu, “Ndiyo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu aliwauliza, Mmeyafahamu hayo yote? Wakamwambia, Naam.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:51
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


na kuwatupa katika tanuri ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.


Hamjafahamu bado ya kuwa kila kiingiacho kinywani hupita tumboni, kikatupwa chooni?


Imekuwaje hamkufahamu ya kuwa sikuwaambia kwa sababu ya mkate? Ila jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.